Mwanaume afariki katika shindano la ngono.

Kwa mara ya kwanza ndio nasikia hili jambo, huu si ulikuwa utesaji? Mashindano gani haya sasa.

Unaenda round zote hizo, kwani ni kukomoana? Hii mbaya sana, matokeo yake jamaa amekufa katika raundi ya Saba. Sijui atajibu nini kwa Mungu wake?


Ngono

Comments